About Me: je suis une fille femme congolaise et je suis yatima ku bazazi wote sas a lakini mungu akawona vire akanipatia wazazi wengine wakanirea vizuri wakanitia kumasomo nikasoma primaire yote nikaimariza nnikafika secondaire paka troisieme sasa nikapata probleme nikazara ivi niko namutoto mwanawume wazazi wakenderea nipenda hawakunitupa wakanipenda sawa mutoto wawo na mie nawapenda sana tena sana niripita mumgumu lakini mungu anajuwa yote bikiwezekana ntarudi kumasomo wazazi yangu wa naitwa namadamu neema na danny waltars